Rapa @naytrueboytz ambaye mapema wiki hii ametajwa kuwania tuzo ya AFRIMA 2022 huko Nigeria akiwania tuzo hiyo kupitia vipengele viwili, ametangaza rasmi kesho Alhamisi anaachia album yake mpya aliyoipa jina #RAISWAKITAA
Aidha, tayari @naytrueboytz ameshaachia tracklist ya album hiyo ambayo ina jumla ya mikwaju 14, huku wasanii kama Alikiba, Marioo, Jux,...
- Producer:Much More
- Release Date:September 22, 2022
- Album:Rais wa Kitaa





