Mhe. Hamis Taletale maarufu @babutale ambaye ni mmoja wa mameneja wa lebo ya WCB, usiku wa jana alitoa taarifa kuhusiana na namna watakavyo wasaini wasanii wao wawili wapya hivi karibuni, ambapo ameeleza, mara hii kutakuwa na utaratibu tofauti na ilivyokuwa hapo awali.
- Producer:Much More beat
- Release Date:August 18, 2022





