Namshukuru Mungu kwa wema na uaminifu wake maishani mwetu . Kuna wakati tunahisi kuzimia , kuchoka , kukata tamaa lakini hata tunapopitia vipindi vigumu Mungu bado yupo nasi .
Wimbo huu ni wimbo wa Shukrani kwa Mungu Asiyeacha Tupotee
Ubarikiwe .
- Release Date:February 15, 2020





