Wizara ya Afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto imesema inampango wa kugawa magari 50 ya kubebea wagonjwa (ambulance) katika mikoa sita ya kanda ya ziwa ili kukabiliana na vifo vya wanawake wazawazito.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri Ummy Mwalimu ambapo amesema magari hayo yataenda katika vituo vya afya vilivyopo...
- Producer:#Mtz
- Release Date:December 8, 2016
- Album:TASCAM DR-07MK2


