mfahamu mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani anayefahamika kwa jila la Paul Alexander, wenye umri wa miaka 77 amevunja record ya kuishi zaidi miaka 70 kwenye pafu la chuma.
Paul aliugua Polio akiwa na umri wa miaka 6 mwaka 1952 ambao ugonjwa huo ulimpelekea kupooza na mapafu yake kuharibika hivyo hulazimaki kutumia...
- Producer:Pascal kadushi
- Release Date:July 28, 2023





