Siku hizo, zaidi ya karne 50 zilizopita, watu waliishi miaka
mingi sana kuliko ilivyo leo. Adamu, mwanadamu wa
kwanza, alikuwa na miaka mia sita Enoko alipozaliwa, na
akaishi miaka mia tatu zaidi! Baadhi ya wazao wa Adamu
waliishi muda mrefu kuliko yeye. Kwa hiyo, akiwa na miaka
365, Enoko alionekana kuwa mwanamume mwenye nguvu,
ambaye angeishi...
- Producer:Pascal kadushi
- Release Date:December 1, 2023




