Ni mzaliwa wa Kigoma,tangu 2015 yupo mitaa mbalimbali ya jiji la Dar akifahamika kwa kuimba na kupiga #beatBox.Safari yake imempeleka zaidi ya mikoa 6 ya #Tanzania na licha ya umaarufu wote huo,hakuwahi kurekodi studio hadi sasa ambapo ndoto hii imetimia.Isikie feeling,story na wimbi huu mpya Exclusive kwenye #LiveNaGeeRoundUp