Mashabiki na watu wengine nchini Kenya kila ikifika tar 17may imeshakuwa desturi yao kuenzi kisa hiki cha kweli 'Stellah wangu' kilichoimbwa na Freshly Mwamburi .Sanaa yake ilimkutanisha na watu wengi miaka ya nyuma na mmoja wao alikuwa JOHN POMBE MAGUFULI aliyekuja kuwa rais wa 5 wa Tanzania.Enjoy na jifunze ...