Kama bahari yenye kina kirefu Pesa ni maji yatiririkayo katika mito, vijito, maziwa, mabwawa na mifereji, Amebarikiwa yule mwenye kujenga kisima, bwawa au ziwa kuyaking'a maji haya yenye thamani kubwa katika karne hii ya 21, Katika giza zito bado napambana kukiishi nilichokiandika, Naiona picha kubwa nikiwa gizani kuutumaini Mwanga, Niambie...