Tatizo la Afya ya akili limeibuka na kushamiri kwa kasi, mpaka kufikia Serikali kuliweka kama moja ya kipa umbele cha kuangalia kwa sasa, lakini si kwamba dalili hazikuonyesha mapema, kwani moja ya sababu zinapelekea tatizo hili kuwa kubwa ni NDOA, hasa zile za wazazi kuchagulia mabinti/ Vijana wenza wa maisha, lakini Tatizo hili linakuwa kubwa sana kwa wanawake ambao wengi wao waliingia kwenye ndoa kwa hiari ya jamii au wazazi, sasa basi, tumefanya mahojiano na MAsuma Somji ambaye ni mtanzania mwenye asili Kiindi ambaye alipitia matatizo haya ya afya ya akili hasa kutokana na kulazimishwa kuingia kwenye ndoa na wazazi wake watanzania wenye asili ya KIINDI, ambaye kwasasa anafanya kazi ya kuelimisha jamii hasa wanawake na mabinti , juu ya afya ya akili (Mental Health) sikiliza