Kiukweli Hakuna Mwenye Thamani Ulimwenguni Kama Mama, Mama Amechukua Nafasi Kubwa Kuliko Baba Kwani Kazi Aliyoifanya Ya Kumlea Mwanawe Sio Lele Mama Bali Inahitaji Ujasiri Na Uvumilivu Kutokana Na Udhia Mbalimbali Anaoupata Katika Kumlea Kijana Wake Hivyo ABNAU Wameliona Hilo Na Kuamua Kutunga Mashairi Ya Kumsifu, Kumtukuza Na Kumpa Hadhi...