Ni Extended Playlist { EP ) yenye jumla ya nyimbo 6 na ni EP ya kwanza kutoka kwa WABETI.
WABETI ni umoja wa Hiphop unaoundwa na Emcees wawili yaani PAPAA FREGE pamoja na BAD NGUNDO.
Umoja huu ni kutoka Manispaa ya KAHAMA.
Tufuate instagram kama @bad_ngundo_salum @papaa_frege
facebook kama @salum said...