Kwanza kabisa asantee Mungu kwa kunipa nafasi hii yakua hai, Asantee Mama, Familiya, ndugu, rafiki kwa Upendo, Leo nachagua kuwa na furaha siku nzima na mwaka mzima. Ni siku yangu ya kuzaliwa na ninashukuru Sana MUNGU kwa zawadi ya maisha. Heri Mfanano ya Siku ya Kuzaliwa!.