Kuna WAKATI ULIOWEKWA kwa kila jambo, WAKATI wa kila shughuli chini ya JUA:
Tunapapasa-papasa Tukiutafuta UKUTA kama VIPOFU, Tunaendelea kupapasa-papasa kama watu wasio na macho
(MACHO NI NGUMU KUONA)
Kama jiji lililobomolewa lisilo na UKUTA , ndivyo alivyo MTU asiye weza kudhibiti HASIRA yake( SIO VITA YETU):
Round hii wote kwa pamoja Tunasema:
WAKATI UKUTAAAAAAA
HUWEZI...
- Producer:Troo FunkMonk
- Release Date:January 31, 2019




