Hii nyimbo inahusiana na history ya maisha ya kweli ya watu wengi wanayo pitia pia ujumbe huu uwafikie dunia nzima kwa karne zote kuwa tunaishi na binadam lawama ambao hawana wema na hawapendi kuona ukifanikiwa ingawa kwa macho ya kawaida sio rahisi kuona ilo jambo nimeandika nyimbo hii iwe...