kutuhumiwa kwa hosptali ya mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya nurse na dereva wa gari la kubeba wagonjwa kuutoza mwili wa marehemu kulipia gari hilo uchukuliwe kutoka mbeya mpaka Njombe baada ya kibena kushindwa kutibu mgonjwa huyo na safari ya mbeya mafuta walitozwa pia ndugu wa mgonjwa na kurudi...