Kwa mara nyingine jukwaa la msingi wa maendeleo kwa vijana limeandaa safari ya kutembelea kituo cha matunzo na malezi ya watoto, MAKIMBILIO CHILD CARE kilichopo Kioga jijini Arusha ili kujifunza mazingira wanayoishi watoto, lakini pia kupeleka msaada wa mahitaji mbalimbali kwao.