Tumekaa jana na ahadi yangu imetimia.. niliahidi ya kwamba kama kile kikao hakitakuwa na majibu ambayo ndugu zangu madereva wanayataka mimi nitatangaza mgomo leo, lakini jana nimekutana na Waziri wa Uchukuzi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa Kazi, Naibu Waziri wa Fedha, SUMATRA, TABOA , TATOA na Afande Mpinga
- Release Date:May 6, 2015





