Steven Charles kanumba (alizaliwa mnamo tarehe 8 Januari 1984,katika mkoa wa Shinyanga - alifariki tarehe 7 Aprili 2012 ) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania,baba yake alikuwa anaitwa Charles Kanumba na mama yake aliitwa Flora Mutegoa.Alikuwa ana uwezo wa kuongea lugha 3: kiswahili, kisukuma na kiingereza. Ni mmoja wa wasanii wa kwanza kufanya kazi nje ya Nchi na kuvutia wasanii wa nje kuja kuigiza nchini Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria...
- Producer:samry Media
- Release Date:October 11, 2022




