- Lyrics,
WIFE Verse 1
Ntapiga makofi mawili matatu .
Na ukitaka peku ntavua na Viatu
Na maji siwezi kuyabeba kwenye kikapu ..
Ila ntakupa we Uyabebe waambiane Watu .
Na mi nachokitaka tuwashangaze
Tuwafunge midomo wanyamaze
Tuwapostie na picha watutangaze
Kwenye page za udaku wenye Stress watuwaze /
Na naomba kuanzia...