Uploaded By
VIEW PROFILE
149 Followers
You always see the signs whether there’s love or not
Lyrics
[VERSE 01]
Kwani hii ni movie gani ya mapenzi
Mbona kama tunadanganyana ooh
Mwenye remote aweke pause
Mbona kama tunadanganyana
Alisema hawezi kula
Hata akila sio wengine wadada
Ona now no lo lo love
Ona noow
Alisema hawezi kula
Hata akila atambakishia Baba
Ona now no lo lo love
Ona noow yeeh
[PRE- CHORUS]
Kama anakupenda hawezi kuwa hivyoo
Kuwa hivyoo
Wanaokupenda mbona hawapo hivyoo uooh ooh o oh
Kama anakupenda hawezi kuwa hivyoo
Kuwa hivyoo
Wanaokupenda mbona hawapo hivyo uooh ooh o oh
[CHORUS]
Para parara rarara
Ah Moyo oh
Moyo wako unaenda
Para parara rarara
Aaah Moyo oh
Usiuchoshe Moyo
Para parara rarara
Aaah Moyo oh
Moyo wako unaenda
Para parara rarara
Aaah Moyo oh
Usiuchoshe Moyo
[VERSE 02]
Tulizana tulizana ah
Why akulize
Tulizana tulizana ah ouwohh uwoah
Usiwe king'ng'anizi king'ng'anizi
Why akuumize
Tulizana Tulizana ah ah
Unawakataaa Unawakataa wengi
Kwaajili yake
Mbona hata mbona hata hashituki
Ajishike eeaah
[PRE -CHORUS]
Kama anakupenda hawezi kuwa hivyoo
Kuwa hivyoo
Wanaokupenda mbona hawapo hivyoo uooh ooh o oh
Kama anakupenda hawezi kuwa hivyoo
Kuwa hivyoo
Wanaokupenda mbona
- Release Date:July 26, 2026
- Producer:JamMusic_Pro
- Genre:Afrosounds






0 comments