Chorus:
Lau ningelipata la kuomba
Ningeliombea umma
Ningeliomba kwa muumba
Sote tufike Madinatul Munauwarah
Verse 1:
Ningelipata la kuomba
Ningeliombea umma
Ningeliomba kwa muumba
Sote tufike Madina
Nilipofika madina
Nililia sana
Nikikumbuka ya nyuma
Kwangu toba ndo salama
Lau ningelipata la kuomba
Ningeliomba kwa muumba
Sote tufike Madinatul Munauwarah
Verse 2:
Kaburini mwa rasuli
Kuna khabari kathiri
Utatetemeka mwili
Na kusafiri akili
Husafiri mpaka janna
Mbele ya mola manani
Hujiona...