Biblia Takatifu inasema 'Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe, na katika mito, haitakugharikisha, uendapo katika moto, hutateketea, wala mwali wa moto hautakuunguza.
(Isaya 43:2)
Ni kweli tunapita katika majaribu, lakini Mungu ameahidi kuwa nasi na kwamba hatutateketea wala kugharikishwa kwa maana anatupenda na sisi ni wa thamani mbele za...
- Release Date:January 28, 2026


