Kikao cha Mitii – Somo la Maisha kutoka Waamuzi 9:7-15
Hadithi hii ya Biblia hutufundisha hekima, unyenyekevu, na kuchagua njia inayompendeza Mungu.
Tuwe wamoja, tusijione bora kuliko wanyonge, bali tuunganishwe kwa upendo na neema ya Mungu. Ushindi wetu uko mikononi mwa Yeye anayetupenda bila kipimo.
- Producer:Andrew
- Release Date:August 28, 2025




