Uploaded By
VIEW PROFILE
1.38K Followers
Lyrics
Your boy Mohrich baba
V on the
Haaa
haaaaa
Haaa
Hala hala (Halaa)
Chunga ndugu yangu usije ukanijaribu
Utaniona mmbaya (Mmbayaa)
Maana mwaka huu sitaki kuharibu
Ushamba wakati wa kwenda kurudi ni ujanja hayaa
Hizo mbanga zako za kujiona unaniweza utayavagaa
Ukiniblock nakublock
Sina muda wa convince
Ukiniposti nakuposti
Hakuna noma kama prof jesse
If You don’t talk i don’t talk
Ukinuna nami nakuwa roboti
Ukini cost naku cost
Ukiona nakukwaza karipoti
Nipotezee..(nipotezee)
Nipotezee..(nipootee)
Nipotezee..(nipotezee)
Nipotezee..(nipootee)
Nipotezee..(nipotezee)
Nipotezee..(nipootee)
Nipotezee..(nipotezee)
Napunguza namba
Idadi ya washamba
Na dili na wajanja
Janjaa
Janjaa
Oyaa
Ukileta zako mbanga nakuvua magwanda nakuacha umesanda
Maisha kujipanga Maisha kujichanga maisha si wagan
- Release Date:January 14, 2024Ⓡ
- Album:Nipotezee
- Producer:Vonthebeat
- Genre:Afrosounds







0 comments