Katika nyakati zote za maisha tunazopitia ziwe nzuri au mbaya, ni vyema kutambua kuwa Mungu ndiye aliyeruhusu hayo yote. Tunapopitia katika kipindi kigumu tuzidi kujua kuwa Mungu wetu ni mkuu zaidi ya huo wakati na kwa kadri ya mapenzi Yake utapita salama