Usikose kuskiliza kisa hiki cha kijana DEREVA BAJAJI
Ambaye aliingiwa na tamaa ya kuchukua mkoba wa Bibi mteja wake
Uliokuwa na pesa na hazina ya Siri
Swali ni je kijana atafanikiwa kuchomoka katka mikono ya
Huyo Bibi mchawi ungana nami mwanzo mwisho