Uploaded By
VIEW PROFILE
9.95K Followers
Ufunuo 4:9-11 "Na hao wenye uhai wanapompa yeye aketiye juu ya kiti cha enzi utukufu, na heshima, na shukrani, yeye aliye hai hata milele na milele, ndipo hao wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi, nao humsujudia yeye aliye hai hata milele na milele, nao huzitupa taji zao mbele ya kile kiti cha enzi, wakisema, Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea utukufu na heshima na uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako vilikuwako, navyo vikaumbwa.”
Yeye aketie enzini patakatifu, sifa ndio harufu nzuri kitini pake. Tunapoungana na maserafi na makerubi kuzipaza sauti zetu mbele yake basi sifa hizi zikafanyike manukato mazuri machoni pake. Zikawe sifa zisizo na ukomo, zikaimbwe na maelfu kwa maelfu tuki
- Release Date:July 9, 2022
- Producer:Band of Christ (Alberose Music House)
- Genre:Gospel






0 comments