Aaahhh uuuhh wuwuuuuh
Aaah mammmmm
Naishi mageto ya wanangu
Sina chochote sina kwangu
Nahangaika nipate kwangu
Jua na mvua vyote vyangu
Mi mwenyewe sina pakukaa
Halafu ndio unataka uje dar!!!
Mara kwa mara huwa nalala njaa
Nitakulisha ninii???
Ndio nahangaika nisaka chapaa
Vumilia punguza lalama
Ukiona mwanaume analala njaa
Ujue mambo ya naenda mramaa aaaa ah ah ah ahh
Naranda randa huku...