Wimbo wa Popote nipo ni wimbo ulioandikwa ukielimisha kuhusu Ukimwi. Ni wimbo wenye funzo kubwa katika jamii ya Tanzania kwa kipindi kile ambacho kulikuwa na wimbi kubwa sana la Ukimwi. Japo kauimba kimafumbo, lakini ni wimbo unaoeleweka na umeimbwa kwa lugha nyepesi ya kiswahili fasaha.