Kila mtu akiwa mtoto huwa anakuwa na matumaini ya kuwa mtu fulani akikuwa
Wengine hutamani kuwa Madaktari, Walimu,Wahandisi, Rubani , Wachungaji , Wahubiri wakubwa wa kimataifa N.k
Lakini adui huwai maono hayo na kudidimiza ndoto hizoo
Lakini ni wakati wa kutangaza kwamba kila kitu ambacho kimepangwa na Mungu ni lazima kitatimia...