Kutoka 15:11
Ee BWANA, katika miungu ni nani aliye kama wewe?
Ni nani aliye kama wewe, mtukufu katika utakatifu, Mwenye kuogopwa katika sifa zako, mfanya maajabu?
LYRICS
Intro (Gideon Paul)
Huuuuu yeyeye yeye yeeh!
Sijaona wakufanana na wewe
Huuuuu uuuuuh uuuuh! Sijaona wakufanana na wewe!
Verse 01
(Gideon Paul)
Je ni nani? Mwenye nguvu kama zako
Sijaona Wakufanana na...