Uploaded By
VIEW PROFILE
973 Followers
Kutoka 15:11
Ee BWANA, katika miungu ni nani aliye kama wewe?
Ni nani aliye kama wewe, mtukufu katika utakatifu, Mwenye kuogopwa katika sifa zako, mfanya maajabu?
LYRICS
Intro (Gideon Paul)
Huuuuu yeyeye yeye yeeh!
Sijaona wakufanana na wewe
Huuuuu uuuuuh uuuuh! Sijaona wakufanana na wewe!
Verse 01
(Gideon Paul)
Je ni nani? Mwenye nguvu kama zako
Sijaona Wakufanana na wewe
Mwenye uweza mamlaka kama yako baba eeeh
Sijaona wakufanana na wewe
(Goodluck Msuya)
Aliyeumba Mbingu bila nguzo yeyote
Sijaona wakufanana na wewe
Uliumba lakini haukuumbwa
Sijaona wakufanana na wewe
Ooh Je ni nani?
Chorus 01
Je ni nani mwenye nguvu kama zako?
Sijaona Wakufanana na wewe!
(Ninaaaani?)
Je ni nani mwenye nguvu kama zako?
Sijaona Wakufanana na wewe!
(Mponyaji kama wewe hayuuupo)
- Release Date:August 27, 2021
- Album:Back to the cross
- Producer:John Honore
- Genre:Afrosounds





0 comments