|
|
Upload

Uploaded By

VIEW PROFILE
Avatar

973 Followers

Kutoka 15:11 Ee BWANA, katika miungu ni nani aliye kama wewe? Ni nani aliye kama wewe, mtukufu katika utakatifu, Mwenye kuogopwa katika sifa zako, mfanya maajabu? LYRICS Intro (Gideon Paul) Huuuuu yeyeye yeye yeeh! Sijaona wakufanana na wewe Huuuuu uuuuuh uuuuh! Sijaona wakufanana na wewe! Verse 01 (Gideon Paul) Je ni nani? Mwenye nguvu kama zako Sijaona Wakufanana na wewe Mwenye uweza mamlaka kama yako baba eeeh Sijaona wakufanana na wewe (Goodluck Msuya) Aliyeumba Mbingu bila nguzo yeyote Sijaona wakufanana na wewe Uliumba lakini haukuumbwa Sijaona wakufanana na wewe Ooh Je ni nani? Chorus 01 Je ni nani mwenye nguvu kama zako? Sijaona Wakufanana na wewe! (Ninaaaani?) Je ni nani mwenye nguvu kama zako? Sijaona Wakufanana na wewe! (Mponyaji kama wewe hayuuupo)
  • Release Date:August 27, 2021
  • Album:Back to the cross
  • Producer:John Honore
  • Genre:Afrosounds
13.3KTotal plays
24Likes
2Re-Ups
131Playlist Adds

0 comments