Maisha yana changamoto nyingi—mengine hupita uwezo wetu wa kufikiri na hata kutenda. Lakini jambo la kutia moyo ni kwamba msaada upo, nao watoka kwa BWANA, Muumba wa mbingu na nchi.
“MSAADA” ni wimbo wa kuinua nafsi na kuleta tumaini. Kupitia sauti na ujumbe wake, unakumbusha kwamba hatuko peke yetu;...