Uploaded By
VIEW PROFILE
15 Followers
Hujawai kuja mbagala
We wa tegeta salasala
Ni vile tu nimechalala
Usinge panda daladala mmh
Upande boda ukwepe foleni
Njia za panya panya piteni
Kona chochocho kuleni
Ila chonde usiangushwe
Na kama ukupanda boda
Usimshike kiuno boda
Mshike kwenye mabega
Nnawivu mbayaa ×2
Tunaona wabaya
Tutashikana ubaya
Mwambie huyo bodada
Asikuzoee vibaya
Tutashikana ubaya
Tunaona wabaya
Chonde huyo bodada
Asikuzoee vibaya
Chorus
Sinyorita my sweet be be be
Magarita
So sweeter
Nikikuita njoo
Ntafuraia kama tutaonana
Sinyorita
My cute bebe be
Bebecita
So pretter
Nakuita njoo
Ntafurai kama tutaonana
Ujeeee ujeeeee weeeee uuuuje.
VERSE 2
Nitakuweka kwenye moyo wangu
Ka utaapa hutodanga na
Usijechezea hisia zangu
Mwenzio utanichanganya
Akina Vunja bei akina Mo akina Bakhresa
Pettyman mapesa
- Release Date:December 28, 2022
- Producer:E.music
- Genre:Afrosounds





0 comments