Huu ni wimbo ulio ndani ya album yetu ya kwanza MACHO NI NGUMU KUONA.wimbo huu ni kwaajili ya kuukumbusha UMMA kuwa jamii ni kitu tunachopaswa kukiweka mbele katika shughuli zetu za kila siku.kwa kutambua madhara/athari na faida ya kitu chochote tunacho wapelekea kama watumiaji.