Anaitwa Ernesto Guevara au Che Guevara. Alizaliwa
huko Rosario, Argentina, Mei 14, 1928 na
kufariki dunia Oktoba 9, 1967 huko La
Higuera, Bolivia. Guevara alipewa jina la ‘Che’
huko Amerika ya Kati likimaanisha ‘Mshangao’ baada
ya kutumia usafiri wa pikipiki kutoka Amerika Kusini
hadi Amerika ya Kati.
- Release Date:March 10, 2021




