Hii ni album ambayo imebeba nyimbo nzuri za kumshukuru Mungu na ina nyimbo sita ambazo zina midundo tofauti tofauti
kuna afropop,Rhumba na Amapiano.
nyimbo zimetungwa na kuimbwa vizuri ili kumfanya msikilizaji aburudike na kupata ladha nzuri ya muziki wa kitanzania
Adonai ni nyimbo ambayo tumefanya collabo na kwaya kutoka Nairobi Kenya AIC...