Lyrics
Wakati wa neema,
Leo o, Umefunuliwa
Kwa watakao
Amini.
Si wakati wa mchezo,
Ni saa ya wokovu,
Kwako mwanadamu.
Sio Lelemama,
Lelemama,
Utubu.
Muda na wakati,
Mwenzangu,
Ni mbaya.
Uache eeh,
Hayo mazoea yako.
Enyi wanadamu,
Ni wakati wa kujitakasa,
Jisafisheni,
Muwe weupe
Kama theluji iih..
Maana neema yake,
Imekwisha funuliwa,
Kila mtu leo
Atapata uzima...
Tafuta tafuta tafuta,
Uzima wapatikana.
Kimbia kimbia kimbia,
Kwa Yesu,
Kuna uzima.
Uhame Uhame,
Uhame leoleo,
Jitwike Jitweke,
Uovu wako leo,
Huohuo Huohuo
Huohuo.
Written by
@BukobaTownChoir
@2022
- Producer:BUKOBA TOWN CHOIR
- Release Date:April 11, 2022
- Album:MOTO




