Habari gani njema unayo leo? Habari njema ambayo malaika walikuwa nayo pale Bethlehemu ilikuwa kwamba Mwokozi amezaliwa (Luka 2:10-12). Huyu alikuwa si mwokozi ambaye angeokoa wana wa Israeli kutoka kwa utumwa wa Warumi, na pia hakuwa Mkombozi aliekuja kuonesha nguvu yake na utawala juu ya Israeli. Huyu alikuwa Mkombozi ambaye...
- Producer:Elia Kilindu | Isaac Thadeo
- Release Date:December 25, 2020
- Album:2020





