Ufunuo wa Yohana 4:4
[4]Na viti ishirini na vinne vilikizunguka kile kiti cha enzi, na juu ya vile viti naliona wazee ishirini na wanne, wameketi, wamevikwa mavazi meupe; na juu ya vichwa vyao walikuwa na taji za dhahabu.
Zaburi 97:9
[9]Maana Wewe, BWANA, ndiwe Uliye juu,
Juu sana kuliko nchi yote;
Umetukuka...
- Release Date:March 16, 2024β





